Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona una lawama sana kaka si upite tu kama vigezo huna wapo wenye vigezo vyao watakujaMhh... eti tuna value tofauti... nini maana ya value??... halafu eti nataka mwenye masters, Doctor au Engineer... daah...
asante baby love kwa kujitokeza maana naona lawama zimezidi hapaFuta uzi unipm umepata zaidi ya mme hapa
sina sifa haya umeridhikaSidhani kama upo kamili au una sifa stahiki,maana ungekuwa na sifa hapa usingefika maana upo unapokaa na kupita ungekua umeshapata,na nani anataka kutongozwa na mwanamke?subiri utafutwe kama unatafuta basi una kasoro za wazi.
ndo mana nimekuambia kama haikuhusu pita kimya naijua value yangu na si kwamba sina mtu ninaye na mwenye nia ya kunioa shida tuna value tofauti
hayakuhusu unanipa lecture nimekuambia na shida na mafundisho yakohaya mabandiko siku iz yanaboaaa....kama ungekua expensive wakumtaka mwanaume waivo mbna ungekua umeshampata ata uyu usingekuja kujianika...we sema natafta mume iyo misifa peleka mbelee....masters umemsomessha ww??,,,iyo mil biashara ulimfungulia???
haya mabandiko siku iz yanaboaaa....kama ungekua expensive wakumtaka mwanaume waivo mbna ungekua umeshampata ata uyu usingekuja kujianika...we sema natafta mume iyo misifa peleka mbelee....masters umemsomessha ww??,,,iyo mil biashara ulimfungulia???
Wanawake mnaboa sana, hizi akili sijui mwaziweka wapi, wote waliokuona hawajaiona hiyo value, sisi tusiokuona ndo waja kutuimbia hapa una value. THAT MINDSET ya kusema una value na unaiona it will repel wanaume, niamini mimi! kwenye andiko lako waonyesha clearly unyenyekevu ni sifuri, na niamini mimi, wanawake wazuri na wanaojua thaman zao wanaishia kupigwa tu, wanaoonelwa ni wale wanyenyekevu wanaojitambua hata kama sura zao ni average, Wanaume hawaoi wanawake ili kufungua kampuni ya mamis na ma modo, wanaoa ili kulea familia. KILA LA KHERI dada yangu, Dont take this personal.
yap ni bikraWe ni bikra ?????
we ungekua navalue unayojifanya nayo ungekuja kujitangaza apa???....nyie ndo wale mbwembwe nyingi kumbe mna maumbo km tembo mgongo umeunganika na kiuno....kama unae c umwambie akuoe????...kama hana mastas msomeshe au mpe mtaji il awe na iyo mil kwa mwezi...wadada km nyie ndo wale mnazeekea kwenu nanyodo zakifala wkt mnahitaj ndoa....nahc kwanza you are above 30 kwa iyo tayar upo desperate...ndo mana nimekuambia kama haikuhusu pita kimya naijua value yangu na si kwamba sina mtu ninaye na mwenye nia ya kunioa shida tuna value tofauti
Wewe utampata wapi wakati matikiti yanalimwa kwa msimu.Mimi nalima matikiti maji, naruhusiwa kuapply?
value ni mahindi ww???....umesoma degree yambolea nn??...alaf iyo degree yako itakua yavile vyuo vingine vingine...zayuni....umentibua ww dada ningekua moderator ningeufunga u uzi wakijinga kabisanaonwa tena sana ila shida wanaoniona wote nahisi tuko value tofauti cause nishakuambia sitaki degree holder so hao siwahitaji na ndo wengi wanifatao
eti nipo above 30 ningekuwa above ningekuja na vigezo vyote hivyo ukiona hivyo it means I am still young that's why sihitaji bora mume ila mume borawe ungekua navalue unayojifanya nayo ungekuja kujitangaza apa???....nyie ndo wale mbwembwe nyingi kumbe mna maumbo km tembo mgongo umeunganika na kiuno....kama unae c umwambie akuoe????...kama hana mastas msomeshe au mpe mtaji il awe na iyo mil kwa mwezi...wadada km nyie ndo wale mnazeekea kwenu nanyodo zakifala wkt mnahitaj ndoa....nahc kwanza you are above 30 kwa iyo tayar upo desperate...
Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM