Natafuta mume

Natafuta mume

Account hii ya pili usipompata usisubiri kuambiwa jua limezama
Ungekuwa na vigezo si ungeacha account ile ya zaman halafu Daby anakujua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
1e5dd584bd4a9a814a52331e39a13d4e.jpg
 
Kama una mtu unahangaika na nn? Acha tamaa dada angu it cmz huyo utakae mpata c utamsalt pia? U women!!!!!!!!!!!!?
 
Lita kuchwea kwa vigezo kwan wew mwenyew vigezo hivyohuna jidanganye kama uja kuta meno_pose hyo no ndoa
 
Ww utakuwa ushapitia mambo mengi.sana ushauri wangu subiri mwenye sifa hizo bado hajazaliwa endelea kusubiri ila hinipayi ng'o!!
 
Hupati Ng'o wemekutumia sasa unachagua hivyo ili iweje?
ningekuwa used nisingechagua hivyo na pia ndo mana we unaweza kununua kiatu elfu ishirini na kikafanana na chako but mwingine akanunua laki so try to understand quality huwa zinatofautiana za kitu chochote hata binadamu pia tuna quality na quantity differ
 
Kwa vgezo ulvyotoa.
Je we unakaz gan, ucje kuta ndo wale wasio na ajira
 
Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
I hope unatafuta business partner, sio mume!
 
sifa zote ulizo zitaka mimi ninazo sasa je ntakupata vipi?wewe bibie.hata mimi nimekupenda sana.
 
ndo mana nimekuambia kama haikuhusu pita kimya naijua value yangu na si kwamba sina mtu ninaye na mwenye nia ya kunioa shida tuna value tofauti

Wanawake kazi mnayo. Utakuja kukumbuka shuka kukiwa kumekucha...... Tena siku hiyo utajua maana halisi ya 'Value'
 
Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Hebu weka vigezo vyako...
Una umri gani?
Elimu yako...
Kazi yako...
Pato lako ni kiasi gani kwa mwezi..
Dini yako!
 
Back
Top Bottom