Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
ndo mkomeKazi tunayo kwa kweli maana si kwa masharti hayo
Vipi kwema lakini Miss Natafuta
ile account ningebandika kutafuta mume isingekuwa sawa na kamwe siwez kutafuta mume kupitia hiyo account elewa tu hivyo yatoshaIle account ya mwanzoni inamana imekushinda kukupatia mume mtakatifu?
Ndo wakome kwa kwelindo mkome
ningekuwa used nisingechagua hivyo na pia ndo mana we unaweza kununua kiatu elfu ishirini na kikafanana na chako but mwingine akanunua laki so try to understand quality huwa zinatofautiana za kitu chochote hata binadamu pia tuna quality na quantity differHupati Ng'o wemekutumia sasa unachagua hivyo ili iweje?
I hope unatafuta business partner, sio mume!Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
sina kazi nataka mtu aje kunisaidia kulipia deni la heslb nadhani umeridhika na hii thread haikuhusu nenda kwa aina zakoKwa vgezo ulvyotoa.
Je we unakaz gan, ucje kuta ndo wale wasio na ajira
kuandika hujui hadhi ya kunioa utaipata wapiMi sofa zote ninazo ila Nani sitaki kukuoa,nikuchezee tu basi.
ndo mana nimekuambia kama haikuhusu pita kimya naijua value yangu na si kwamba sina mtu ninaye na mwenye nia ya kunioa shida tuna value tofauti
Hebu weka vigezo vyako...Mimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
Kweli una bikra nyumbani kwenu ambae ni mdogo wako. Wewe yako kashaitoa yule jamaa yako ambae unaona hana value kama yako hawezi kukuoa.yap ni bikra