Joto Balaa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,141
- 770
Niko Morogoro, njoo PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona tayari wanawake hivi Sasa wanatongoza wanaoa wanawalipa mpk Mahari mbona kawaida tuTunakoelekea wanawake wataanza kutongoza, kulipa mahari na kuoa.
We msomi ?Naitwa morice naishi dar Natafuta mume wakunioa awe msomi na mwenyewe hofu ya mungu
Unatafuta mume au mwanaume wa kukuoa? Kwa sababu mume ameshaoa au unataka uwe mke wa pili au zaidi? Fafanua.Naitwa morice naishi dar Natafuta mume wakunioa awe msomi na mwenyewe hofu ya mungu
Unataka mke wa pili? Kwa sab huwezi kuwa mume kabla hujaoa.Niko hapa Mme bora kabisa na msomi wa Masters kutoka call me j ya karibu na chattle njoo pm tuyajenge
Huko kuoa huwa ni kubariki tu lakini ndoa rasmi huanza pale mnapoanza kujenga uhusiano wenyeweUnataka mke wa pili? Kwa sab huwezi kuwa mume kabla hujaoa.
Mkuu hao ni member wazoefu wa kitambo humu JF ila wanafungua account maalum kutafutia mume kwa vile zile ID zao za kawaida walishatukana sana wanaume au walikuwa wana nata sana na maneno ya shombo kibao sasa aibu wakiomba poo.Halafu kwanini 99% ya wanaotafuta waume/wake au wachumba humu ni ID mpya?!
Kwasababu I'd zao za zamani hazina stahaHalafu kwanini 99% ya wanaotafuta waume/wake au wachumba humu ni ID mpya?!
Mie ninazo sifa ya kuwa mme wako, ni pm tuongee.Naitwa morice naishi dar Natafuta mume wakunioa awe msomi na mwenyewe hofu ya mungu
Teh teh teh tehMkuu hao ni member wazoefu wa kitambo humu JF ila wanafungua account maalum kutafutia mume kwa vile zile ID zao za kawaida walishatukana sana wanaume au walikuwa wana nata sana na maneno ya shombo kibao sasa aibu wakiomba poo.
HahahahaKwasababu I'd zao za zamani hazina staha
Wasiliana na Frola Mbasha ( Madam Frola) atakilusaidia kupata.Naitwa morice naishi dar Natafuta mume wakunioa awe msomi na mwenyewe hofu ya mungu