Natafuta mume


Vigezo vyote ninavyo......ila huu ufupi huu(umeniponza)
 
Kwa uhitaji wa mwanaume wa umri wako aiseee hapo kupata ni shida sanaa mana mmmm
 
Kama upo rayari, ila mm sijafikisha 30
 
ningekuwa sijaoa ningevuta goma yaani vigezo vyote ninavyo kasoro tu nina mke
 
Tengua kigezo cha umli kijana wa miaka 30 hawezi kuoa bint wa miaka 30 hapo ongeza miaka asizidi miaka 34 ndio lika lako la ndoa
 
OK nitakutafuta tuyajenge
 
Miaka 29 huchukui?
 
Nipo mimi age 19.
ntakua ben 10 wako πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ˜› πŸ˜› 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…