Natafuta mume

Natafuta mume

Jamani hili tangazo la kweli au jokas maana wengine kweli tunatafuta wake wenye umri kama huu kwakweli kama upo kweli nicheki unahitaji mume{fjafarimakamba11@gmail.com}
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Ni pm plz
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Haya kila la kheri na vigezo na masharti kuzingatiwa...
 
Umri umekukimbiza mnoo !! I think umekumbuka shuka ☻kumekucha ila kadhana watajitokeza
 
Ulikuwa wapi kwani haujawahi kuwa na mchumba mlikuwa mnafikia wapi au walikuwa wanatangaza nia ya kuoa wewe ukawa bado ukawa unakula ujana
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] kala ujana hadi kachill
 
Saa 6 yako uliila na nan imefika saa 9 na nusu unaona inaelekea jion uimalizie kwa nani?
 
Back
Top Bottom