mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
jf mnavituko sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jf mnavituko sana
jitose mkuu, utajua mbeleniUshapata au bado?
Hapa sio Fb[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mume fb,???? Ohwiiiiii !!!! Maweeee !!!! sijui If U 're a right commodity
Ok Poajitose mkuu, utajua mbeleni
aseeBikra ipo!?
Mkuu unatumia tu ,kwan ukituma e mail atajua kwàmba username yako ya JF ni hii?Hapana hapo kwenye email utafeli kwani utakuwa kama mpelelezi wengine email zetu zina majina yetu halisi ko tutaogopa kutuma email labda nitengeneze fake email kwa ajiri ya suala hili tu
Unavaa brah size gani?Mimi ni binti wa miaka 24, mkristu (RC) nimeajiriwa, sina mtoto.
Natafuta mwanaume wa kunioa, umri 26-35, mkristu, asiwe na mtoto.
Nitafute tmaganga21@gmail.com
Tumia yahoo ya kugushi jinaHapana hapo kwenye email utafeli kwani utakuwa kama mpelelezi wengine email zetu zina majina yetu halisi ko tutaogopa kutuma email labda nitengeneze fake email kwa ajiri ya suala hili tu
na ww unagawa vile vilehongera dada naona una bahati,wadada wengine wananagwa humu balaa....
na ww unagawa vile vile
Umri kwangu jangaMimi ni binti wa miaka 24, mkristu (RC) nimeajiriwa, sina mtoto.
Natafuta mwanaume wa kunioa, umri 26-35, mkristu, asiwe na mtoto.
Nitafute tmaganga21@gmail.com