Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji23][emoji23][emoji23]!......Meno yote 32 nje,nimepata free chura!J5 nitakusubiri baadae ya kukosa koote sawa?
[emoji122][emoji122][emoji122]Hapa ndo weng hesabu zenu mnakosea !!.
Ushajua ID yako ya awali ilijaa maluwe luwe ,basi mnakuja na ID mpya !!.ivi unadhan hata uyo mwanamme atakayekuja ,yeye Hajui ulikua na ID ingine apo wali ?.
Embu njooni ktk Uhalisia wenu bana ,nini mnachoogopa ??
Haya nimatokeo ya ulichokua unakifanya na kukisema humu ,, MTU kama unajijua ulikua unafanya nakusema mzur, haina haja ya kuja na ID mpya !!. Sure hamna muoaji asotaka kujua niwapi umetokea.
Basi hata ungeacha kidogo upost post na kukoment post nzur zenye uvuto ,ili uwavutie, sasa hilo nalo linakushinda !!
Sister am very sory to say this ,," watakuja ma boyfriend lkn sio Mumefriend" ..hapa ndipo utajua Mwanamme nikiumbe mwenye Akili.
Kuja hukuHabari wana JF natafuta mume wa kuanzia miaka 35+
SIFA
Awe mkiristo
Mwenye hofu na Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Awe na rangi at least(maji ya kunde +
Asiwe bonge
Mwenye shughuri ya kumuingizia kipato
Mrefu
SIFA zangu,
Mweusi
Mwili wastani
Elimu graduate
Urefu wastani.
Karibu
Chief , Habar za majukumu ndugu yangu[emoji122][emoji122][emoji122]
Powa mkuuChief , Habar za majukumu ndugu yangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwakweli [emoji119] itakuwa anadhani kuwa warefu tu ndio wana dushe kubwa, imani potofuSisi wafupi imemega kwetu. Kila anayetafuta mume utasikia 'mrefu'![emoji23]
Sawa sawa ,naona majukumu mengi sana mkuu ,,mpaka salamu zinakimbia?.Powa mkuu
Hamna kiongozi ilu tonya kaka tulusakula makondeSawa sawa ,naona majukumu mengi sana mkuu ,,mpaka salamu zinakimbia?.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] sawa sawa,, ila salamu tukumbukane nduguHamna kiongozi ilu tonya kaka tulusakula makonde
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] sawa sawa,, ila salamu tukumbukane ndugu
Safi chief,Chief , Habar za majukumu ndugu yangu
Weekend imekaa vizuri kabisa mkuu ,, sijui kwakoSafi chief,
Majukumu yanaenda vizuri kabisa ndugu yangu habari ya weekend?
Unafanya kazi gani?Habari wana JF natafuta mume wa kuanzia miaka 35+
SIFA
Awe mkiristo
Mwenye hofu na Mungu
Mwenye upendo wa dhati
Awe na rangi at least(maji ya kunde +
Asiwe bonge
Mwenye shughuri ya kumuingizia kipato
Mrefu
SIFA zangu,
Mweusi
Mwili wastani
Elimu graduate
Urefu wastani.
Karibu
Mimi pia chief japo hii weekend nipo hoi hadi najionea hurumaa[emoji17]Weekend imekaa vizuri kabisa mkuu ,, sijui kwako
Hehe eti ipo majiniIpo majini...nmekumiss lkn
Usiogope majukumu dreka kufanya au kuto kufanya kazi sio kigezo kwani wewe unaenda kuishi na mwana mke na sio kazi yake. Na istoshe acha kuya kimbia majukumu yako ya kutunza mke na familia huo ni wajibu ulio pewa na mungu.Unafanya kazi gani?
Simba anagoli moja sasa.Mimi pia chief japo hii weekend nipo hoi hadi najionea hurumaa[emoji17]
Hapa navuta usingizi kidogo nipumzikee....
Asante chiefSimba anagoli moja sasa.
Hahaha pumzika kaka mwili u ragain energy ilopotea
Kambea wewe...ulijuajeYaaah