Natafuta mume

Natafuta mume

Haipendezi kabisa hata hivyo kwa taarifa yenu hiyo ni invention mojawapo ya ibilisi lengo likiwa ni kuzidisha machukizo juu ya uso wa nchi, hata hivyo Mungu alitupa binadamu uhuru na uwezo wa kuchagua, hakuna aliyelazimishwa kumwamini Mungu ni hiari kwa moyo wako tu.
[HASHTAG]#Tamaa[/HASHTAG] ikishachukua mimba, huzaa mauti [emoji17]
Kwa nini lakini mkuu
 
Nasikia ile gear ya nyege hawana unakuwa unatomba mgomba au unapiga puli tu mkuu hata miguno hawana
Tuwahurumie wanawake walokeketwa ndugu, tusiwadhalilishe hv ijapokuwa ndio hali halisi inavyokuwaga.
 
Hapa ndo weng hesabu zenu mnakosea !!.

Ushajua ID yako ya awali ilijaa maluwe luwe ,basi mnakuja na ID mpya !!.ivi unadhan hata uyo mwanamme atakayekuja ,yeye Hajui ulikua na ID ingine apo wali ?.

Embu njooni ktk Uhalisia wenu bana ,nini mnachoogopa ??

Haya nimatokeo ya ulichokua unakifanya na kukisema humu ,, MTU kama unajijua ulikua unafanya nakusema mzur, haina haja ya kuja na ID mpya !!. Sure hamna muoaji asotaka kujua niwapi umetokea.

Basi hata ungeacha kidogo upost post na kukoment post nzur zenye uvuto ,ili uwavutie, sasa hilo nalo linakushinda !!

Sister am very sory to say this ,," watakuja ma boyfriend lkn sio Mumefriend" ..hapa ndipo utajua Mwanamme nikiumbe mwenye Akili.
Unawakika ghani kabasikisha ID
 
Mkuu Hapo ndo ninapokukubali Tuu...
Lazima Mwaka huu wakutafute Kaka wanaanzaga wanatafuta Mume...mwisho husema wana Chura[emoji14] [emoji14]
Hiyo ni bait tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
It could be a coincidence. May be kuna mwengine ana vigezo kama vyake.
Nahirat amna cha coincidence wala nini !!.

Acha zako wewe ,, et maybe kuna mwengine anavigezo kama vyake[emoji23] [emoji23] .Ivi umefikilia hili ?? Kufanana vigezo kuna Mahusiano gani na nilichokiandika Mimi juu???

Wee bana ,uwe unatumia Akili kufikiria ,Unless niwewe mwenyewe sasa umeamua kuja na hapo ndo namm nilitaka. Upo!!!
 
Una umri gani wewe?
Je umeshawahi kuolewa kabla?
Unaishi mkoa gani?
Unajishuhulisha na nini sasa?
 
Nahirat amna cha coincidence wala nini !!.

Acha zako wewe ,, et maybe kuna mwengine anavigezo kama vyake[emoji23] [emoji23] .Ivi umefikilia hili ?? Kufanana vigezo kuna Mahusiano gani na nilichokiandika Mimi juu???

Wee bana ,uwe unatumia Akili kufikiria ,Unless niwewe mwenyewe sasa umeamua kuja na hapo ndo namm nilitaka. Upo!!!
Hata kama ni mimi mi nasimamia hoja yangu. Mbona wako wengi wenye vigezo kama hivyo mkristo, mrefu, ana elimu etc. Sioni cha ajaabu.

Kwaupande wangu usiwe na hofu ingekua anatafta mme muislamu ngenitilia shaka, Alafu kwangu sio lazima awe na degree japo mi tayari niko ndani.
Nilikua nafikiria hivyo kwamba you are not sure100% kwamba ni one person
 
Hata kama ni mimi mi nasimamia hoja yangu. Mbona wako wengi wenye vigezo kama hivyo mkristo, mrefu, ana elimu etc. Sioni cha ajaabu.

Kwaupande wangu usiwe na hofu ingekua anatafta mme muislamu ngenitilia shaka, Alafu kwangu sio lazima awe na degree japo mi tayari niko ndani.
Nilikua nafikiria hivyo kwamba you are not sure100% kwamba ni one person
Ndo maana nikasema uwe unatumia Akili kufikiria . hoja yangu imeegemea ID.

Mimi ninauhakika huyu mtoa mada nimwenyej humu na anajua kona zote za JF.Sasa kwann asingetumia ID yake ilozoeleka ??? Nn amekikimbia?/

Kwaiyo akibadili ID na vigezo pia vinabadilika ?? Unafikiria kweli ww???
 
Back
Top Bottom