Mimi nakutaka wewe apo kabla hujafikisha miaka 36!Kila LA kheri
Mimi nimewahiwa..hiyo 36 itanikuta na watoto wanne mkuuMimi nakutaka wewe apo kabla hujafikisha miaka 36!
Sasa unatoa mashariti magumu wakati teyari unamtoto je na yule umtakaye unayajua mashariti Yake?SIFA ZANGU
- miaka 36
- mkristo
- nimeajiriwa serikalini
- nina mtoto mmoja
- sijawahi kuolewa
-naishi dsm
SIFA ZAKE
-nahitaji mume
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-umri 37-45-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
kama haikuhusu pita kimya kimya sihitaji mapovu
Habari Dada, VIP nitakupataje?Sasa unatoa mashariti magumu wakati teyari unamtoto je na yule umtakaye unayajua mashariti Yake?
Miaka 9 ijayo utaanza kuitwa Mzee. Kikubwa endelea kulea mwanaoSIFA ZANGU
- miaka 36
- mkristo
- nimeajiriwa serikalini
- nina mtoto mmoja
- sijawahi kuolewa
-naishi dsm
SIFA ZAKE
-nahitaji mume
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-umri 37-45-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
kama haikuhusu pita kimya kimya sihitaji mapovu
Karibu pm tuongee kwa ndani.SIFA ZANGU
- miaka 36
- mkristo
- nimeajiriwa serikalini
- nina mtoto mmoja
- sijawahi kuolewa
-naishi dsm
SIFA ZAKE
-nahitaji mume
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-umri 37-45-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
kama haikuhusu pita kimya kimya sihitaji mapovu
Ungepita kimya Ungeingia mbinguniWaombe msamaha wote uliowaringia ukiwa binti maana sasa ni bibi