Natafuta mume

Natafuta mume

Dah! mimi nimeishia hapo kwenye umri wake tu!
 
Huwaga akina dada wakiwa bado wabichi wanawaza kuwa na mtoto, baadae umri ukienda wanaume wenyewe tunataka kuoa wanawake wasio na watoto wanabaki na option ya second selection,
 
SIFA ZANGU
- miaka 36
- mkristo
- nimeajiriwa serikalini
- nina mtoto mmoja
- sijawahi kuolewa
-naishi dsm

SIFA ZAKE
-nahitaji mume
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-umri 37-45-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
kama haikuhusu pita kimya kimya sihitaji mapovu
Sasa unatoa mashariti magumu wakati teyari unamtoto je na yule umtakaye unayajua mashariti Yake?
 
Mi nna sifa zote Ila andunje ka ganda la kiberiti tena nweusi tiii
 
SIFA ZANGU
- miaka 36
- mkristo
- nimeajiriwa serikalini
- nina mtoto mmoja
- sijawahi kuolewa
-naishi dsm

SIFA ZAKE
-nahitaji mume
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-umri 37-45-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
kama haikuhusu pita kimya kimya sihitaji mapovu
Miaka 9 ijayo utaanza kuitwa Mzee. Kikubwa endelea kulea mwanao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIFA ZANGU
- miaka 36
- mkristo
- nimeajiriwa serikalini
- nina mtoto mmoja
- sijawahi kuolewa
-naishi dsm

SIFA ZAKE
-nahitaji mume
-mwenye upendo wa dhati
- mkristo
-muajiriwa/amejiajiri
-umri 37-45-mrefu
-rangi yoyote
-mkweli
-muaminifu
kama haikuhusu pita kimya kimya sihitaji mapovu
Karibu pm tuongee kwa ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimkatishe tamaa jmn, huwezi jua kilichomtokea mtu mpaka kufikia hali hiyo. Anaekidhi vigezo amfuate sasa wengine mapovu mengi na maneno ya kejeli juu. Duuu
 
]Msimkatishe tamaa jmn, huwezi jua kilichomtokea mtu mpaka kufikia hali hiyo. Anaekidhi vigezo amfuate sasa wengine mapovu mengi na maneno ya kejeli juu. Duuu[/QUOTE]
wengi wao wanaokatsha tamaa ni wale wanaume suruali ambao hawawezi kukidhi vigezo watakavyo wanawake kama unaona post haikuhusu pita kushoto
 
Back
Top Bottom