Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mivyote hivyo nikijitahidi kuacha, ingawa nimebeki kwenye matumizi ya Nyagi kubwa aka Bimbadia nakata man alonePombe,sigara,bangi,mirungi
NATAFUTA MCHUMBA WA KIKESio rahisi sana kuandika hapa,ila tunaandika kwa Imani tu kuwa Mungu atafanya coz mume/mke anapatikana popote:
In short natafuta mume umri wangu 27,mkristo,ni single mom(swali la baba ake yupo wapi ningependa niulizwe na muhitaji tu),nimeajiriwa,mnene wa wastani nimeumbika kike,sio mrefu sana,mwenye hofu ya Mungu.
Nahitaji mume umri 35-45,mkristo,anayefanya kazi,Mwenye mapenzi ya dhati,asitumie kilevi chochote.
NB:if your not serious usisogee pleasee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi kuna mwanaume ambaye hafanyi kazi kweli? Au sielewi kwa kuwa kiswahili changu kimekuja mjini kutoka Chattle?anayefanya kazi.
wewe nokia si umeoa?Mbona PM hujibu sasa?!
wewe nokia si umeoa?
Acha maswali kama unavigezo wahi fursa hyo jirani si unataka mwenzaUkipata mume kama wa fey tz au wa irene uwoya hutaki??
akiwa na umri kama wako lakini akiweza kuyatimiza yote mume anayotakiwa kufanya pia humtaki??