Natafuta mume

Status
Not open for further replies.
single maza wamerudi kwa kasi ya 4g!

kuna uzi humu unaelezea madhira ya single mam, vijana mkuwe makini
Usiniumize kaka sikupenda hli litokee na nimehangaika sana binafsi mpaka sasa nina uchungu na ninaon aibu nimeharibu kazi,nimeharibu maisha,ndugu wamenitenga nimekuwa na maisha hayakko sawa faraja yangu ni mwanangu na mume inauma sana kuitumikia familia na kuwajali kama wako wakakugeuka na kusahau kila kitu mbaya zaidi na mtoto wamekuachia wamekutesa toka mimba mpaka umejifungua
 
Mkiwa under 30 mnaringaa wee
Mnafkir hamtazeeka Ila ngoja
Ifke over30

Unaskia tu yoyote ilimrad
Maisha yanaenda
naona nimekosea kuja humu nlijua nitapata faraja ila nashambuliwa sikupenda wala sikutaka kuwa hivo
 
Pole dada yanga I wish nikuoe sema nina miaka 28
 
pole sana mkuu

utafanikiwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…