Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 885
Usiniumize kaka sikupenda hli litokee na nimehangaika sana binafsi mpaka sasa nina uchungu na ninaon aibu nimeharibu kazi,nimeharibu maisha,ndugu wamenitenga nimekuwa na maisha hayakko sawa faraja yangu ni mwanangu na mume inauma sana kuitumikia familia na kuwajali kama wako wakakugeuka na kusahau kila kitu mbaya zaidi na mtoto wamekuachia wamekutesa toka mimba mpaka umejifunguasingle maza wamerudi kwa kasi ya 4g!
kuna uzi humu unaelezea madhira ya single mam, vijana mkuwe makini
POLE SANA. utapata mume boraameoa mwanza na
hatuna mawasiliano alitutelekeza nimeumia kwa mda mrefu sana sasa na mimi ni wakati wangu kupata mume
30 yrs amekua mama...Skrtel alikuharibu akili wewesingle maza wamerudi kwa kasi ya 4g!
kuna uzi humu unaelezea madhira ya single mam, vijana mkuwe makini
naona nimekosea kuja humu nlijua nitapata faraja ila nashambuliwa sikupenda wala sikutaka kuwa hivoMkiwa under 30 mnaringaa wee
Mnafkir hamtazeeka Ila ngoja
Ifke over30
Unaskia tu yoyote ilimrad
Maisha yanaenda
Pole dada yanga I wish nikuoe sema nina miaka 28Usiniumize kaka sikupenda hli litokee na nimehangaika sana binafsi mpaka sasa nina uchungu na ninaon aibu nimeharibu kazi,nimeharibu maisha,ndugu wamenitenga nimekuwa na maisha hayakko sawa faraja yangu ni mwanangu na mume inauma sana kuitumikia familia na kuwajali kama wako wakakugeuka na kusahau kila kitu mbaya zaidi na mtoto wamekuachia wamekutesa toka mimba mpaka umejifungua
ahsantePole dada yanga I wish nikuoe sema nina miaka 28
pole sana mkuuUsiniumize kaka sikupenda hli litokee na nimehangaika sana binafsi mpaka sasa nina uchungu na ninaon aibu nimeharibu kazi,nimeharibu maisha,ndugu wamenitenga nimekuwa na maisha hayakko sawa faraja yangu ni mwanangu na mume inauma sana kuitumikia familia na kuwajali kama wako wakakugeuka na kusahau kila kitu mbaya zaidi na mtoto wamekuachia wamekutesa toka mimba mpaka umejifungua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utasikia wanasema yote maisha bora uzima tu!!Mkiwa under 30 mnaringaa wee
Mnafkir hamtazeeka Ila ngoja
Ifke over30
Unaskia tu yoyote ilimrad
Maisha yanaenda
Kweli mkuuNB. Waliozaa pamoja hua hawaachani.
At your Own Risk.
Ni kweli 'single mothers' wengi hawana maadili?single maza wamerudi kwa kasi ya 4g!
kuna uzi humu unaelezea madhira ya single mam, vijana mkuwe makini
Kama unakidh vigezo kamuoe acha maneno mengiMkiwa under 30 mnaringaa wee
Mnafkir hamtazeeka Ila ngoja
Ifke over30
Unaskia tu yoyote ilimrad
Maisha yanaenda
Nioe mwanamke alie zaa????Kama unakidh vigezo kamuoe acha maneno mengi
Hadithi zenu zinafanana,Siku mbili nyingi oooh baba wa mtoto amekuja kumsalimia.Mara nampeleka kwa baba yake amuone.Huko huko na mimba nyingine juu.ameoa mwanza na
hatuna mawasiliano alitutelekeza nimeumia kwa mda mrefu sana sasa na mimi ni wakati wangu kupata mume
Alabdulilah ya mboga inapatkanA[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utasikia wanasema yote maisha bora uzima tu!!
HahahhahaNioe mwanamke alie zaa????
Labda Kama waschana wameisha
Kwa hii dunia
amenMungu asikie kilio chako upate mwenye heri na ww