Natafuta mume

Status
Not open for further replies.
Umesema ulikua unasoma humu kwa muda mrefu natumaini ulikua unaona majibu mabovu hivyo ulijiandaa kwa hilo.

Maneno ya humu yasikushughulishe, fuata kilichokuleta.

Na itakua kama unavyotaka.
 
h
hayuko moyoni nikiri tu nimekosea ila naomba nsinyanyapaliwe
 
Siku zote majuto ni mjukuu, wewe ukiwa kama msomi chuo, you should have known better! Haya mambo ya kuchezewa na kuachwa waachieni wale wa darasa la saba. Lakini inapofika eti hata Graduate wa chuo kikuu unachezewa na kuachwa hapa ndipo huwa naona elimu yetu bado ni shida sana.
 
Once again , umri
 
ahsante
 
Mkuu miminimama siku zote mimi huwa napenda kuwaambia watu ukweli wao ili wale wengine wasije wakarudia makosa yale yale. Sina ubaya na wewe na wala sina chuki na wewe. Mimi nimejipa jukumu la kukemea maovu humu JF.

Haina maana kwamba hutapata Mume, hapana, Mume utampata lakini inabidi uwe makini sana mara hii maana unaweza ukajikuta unabebeshwa Mimba nyingine na kuachwa tena. Why?... sababu sasa hivi uko lonely and desperate, unatafuta mume kwa bidii, some men can take advantage of that situation na kujifanya wanakupenda sana na kukujali, kumbe lengo lao ni kukuchezea tu huku wakiwa hawana nia ya future na wewe. Utakapopata ujauzito tu usishangae akakimbia tena kama yule wa mwanzo.

Kuwa mwangalifu sana tena sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…