Old Granny
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 392
- 555
Mkuu the time is now or never...Naomba uje inbox yangu kama kweli unamaanisha
Aliekata utepe alishindwa kukulea kama yai,.. Unataka sisi tunaokutana makombo ndo utufanye mdumange?Mimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Hitaji la moyo wake ni huyo mwenye mtoto..Eeeh Mungu wa Ibrahim, Mungu wa yakobo... mpe huyu mama hitaji la moyo wake...
Amen..
Nakazia...NB. Waliozaa pamoja hua hawaachani.
At your Own Risk.
Kasoro mimi..Hahahaaaa wanaume wa jf bwana hahahaaaa hapo wamejaa pm ndiii
Mkuu we ni Mzanzibar?tena wengine wanapiga hadi magoti uko pm.......dah wahuni sio watu
Alafu wewe mbona unakua mchokozi sana??Kwanini usitumie ile ID yako inayo julikana....[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
Wewe hautaki???Kila la kheri
Mkuu, kwani umeshindwa kuunganisha dot na vinasaba vya aina ya uandishi.....[emoji30][emoji30][emoji11]Alafu wewe mbona unakua mchokozi sana??
NdioWewe hautaki???
ushawahi kuona mjamzito wa miezi 6 anataka agongwe na gari sababu ya aliyempa ujauzito na yeye anachekelea?Nimenusurika kufa,nimedhihakiwa,nimetukanwa,nimepigwa nimepoteza mali mwanangu kapewa roho ya kukataliwa hata kabla hajaja duniani naimani mpaka sasa nipo hai ni kwa sababu ya bguvu ya Muumba aliyejuu
hapanaazMkuu we ni Mzanzibar?
Dini na umri kama unataka ulelewe wewe na mwanao...kama lipi kaka
We jifanye mjanja siku upate mtu hapa akutolee povu utajuta kuchafua uzi.Mkuu, kwani umeshindwa kuunganisha dot na vinasaba vya aina ya uandishi.....[emoji30][emoji30][emoji11]