Old Granny
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 392
- 555
Pole sn Dada nakuelewa kiasi fulan,ila usikate tamaa,na uyo kivuruge aliyekusababishia ayo n muda wa kumsameh na kumfuta kchwan kwako kkabbsaaaa...
Kuanzia now vaa sura yenye tabasamu muda wote, pendeza San jipende, pia uwe unatembea tembea kdog uonekane, pia usionyeshe sn kuwa u ar so desperate to get married, I mean usijishushe kivile kisa n single mom,bado unathaman San ,
Nna ndugu yng kaolewa na kwa mahari nzuri tu m2 na ye alikuwa. Single mom wa watoto wa2 kwa wanaume tofaut...nakupa mfano hhuu ili ucje kkukata tamaa .
Mungu atakubariki utapata mume atayeijua thaman yko[emoji11] [emoji11]
Kuanzia now vaa sura yenye tabasamu muda wote, pendeza San jipende, pia uwe unatembea tembea kdog uonekane, pia usionyeshe sn kuwa u ar so desperate to get married, I mean usijishushe kivile kisa n single mom,bado unathaman San ,
Nna ndugu yng kaolewa na kwa mahari nzuri tu m2 na ye alikuwa. Single mom wa watoto wa2 kwa wanaume tofaut...nakupa mfano hhuu ili ucje kkukata tamaa .
Mungu atakubariki utapata mume atayeijua thaman yko[emoji11] [emoji11]