Natafuta mume

Natafuta mume

Status
Not open for further replies.
Pole sn Dada nakuelewa kiasi fulan,ila usikate tamaa,na uyo kivuruge aliyekusababishia ayo n muda wa kumsameh na kumfuta kchwan kwako kkabbsaaaa...

Kuanzia now vaa sura yenye tabasamu muda wote, pendeza San jipende, pia uwe unatembea tembea kdog uonekane, pia usionyeshe sn kuwa u ar so desperate to get married, I mean usijishushe kivile kisa n single mom,bado unathaman San ,

Nna ndugu yng kaolewa na kwa mahari nzuri tu m2 na ye alikuwa. Single mom wa watoto wa2 kwa wanaume tofaut...nakupa mfano hhuu ili ucje kkukata tamaa .

Mungu atakubariki utapata mume atayeijua thaman yko[emoji11] [emoji11]
 
Mimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Aliekata utepe alishindwa kukulea kama yai,.. Unataka sisi tunaokutana makombo ndo utufanye mdumange?
 
Ungeweka na picha yako kutushawishi so PM tunakujaje hatujajua rangi ya chungwa ...
 
ushawahi kuona mjamzito wa miezi 6 anataka agongwe na gari sababu ya aliyempa ujauzito na yeye anachekelea?Nimenusurika kufa,nimedhihakiwa,nimetukanwa,nimepigwa nimepoteza mali mwanangu kapewa roho ya kukataliwa hata kabla hajaja duniani naimani mpaka sasa nipo hai ni kwa sababu ya bguvu ya Muumba aliyejuu


Unafikiri kwa nini yamekukuta hayo ?

Je hakuna sehemu uliyowahi kukosea ?
 
kama lipi kaka
Dini na umri kama unataka ulelewe wewe na mwanao...
Dini ule upande wa pili Waislam wao kiimani watakustili kwa mujibu was ubinadamu wao..
Umri ndio hivyo wazee wengi wana kitu adimu ambacho sisi vijana atuna nacho ni roho nzuri na safi wanapofanya maamuzi yanakuwa ya kweli haswa...
Wanja wako kusuka au kunyoa,,,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom