Natafuta mume

Status
Not open for further replies.
baba yake hamtaki tokea mimba,kasema akikua mtoto atamtafuta ila yeye hataki mtoto wala hawezi kumtafuta
Kwani hakuna njia za kufuata dada yangu huyu bwana amchukue mtoto??Kwani alivyokua anakojoa alidhani ni uji huo??Sorry Lakin kwa kutumia maneno makali.Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Bby una deni bodi ya mikopo kiasi gani?
 
Nioe mwanamke alie zaa????
Labda Kama waschana wameisha
Kwa hii dunia

Madem uliowatia mimba na kuwambia watoe ni wangapi? Hakuna wasichana siku hizi kuwa open minded mkuu acha mawazo mgando
 
Kuna baadhi ambao nawafahamu wapo vizuri sana
 
Hahahaha huna ajira kwasasa naunataka ulelewe kama yai!!! Njoo pm basi ila degree sina
 
Pole sana maa,Mungu akupe hitaji la moyo wako
 
Unauhakika Kama Ulimpotezea huku???[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…