Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sexy ni km ladha ya penzi so inahitajika kunogeshapole sana,mie nimeona couples kibao,wanaishi bila ngono,omba Mungu akupe wa kufanana nae..
Kujua true identity ya mtu ngumu mbk akupend weng they pretend na unaweza jua kwlyusikubali mwaya, mpaka mtu ujue status yake
Easy woman utapata but carefulNatafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
But unahitaj kitu inabid utoe kitu haha jokes tuhNatafuta mume rejea tangazo la nyuma, najua mtajiuliza mbona sijapata asilimia 99 wanaotaka mawasiliano wanataka ngono hivo naishia kukata mawasiliano, nimekutana na mmoja tu mara moja ila hatujafika muafaka, sijakata tamaa bado natafuta.
True ndo mana ikaitwa ndoaNdoa sio papuchi peke yake,ukikua kidoogo utaona yote haya
Upo ndan ya ndoa?Ndoa sio papuchi peke yake,ukikua kidoogo utaona yote haya
[emoji23] [emoji23]Mkiwa under 30 mnaringaa wee
Mnafkir hamtazeeka Ila ngoja
Ifke over30
Unaskia tu yoyote ilimrad
Maisha yanaenda
The problem is kujifunza kwny mahusiano wanawake inawachukua mda sana cjui kwnn BTW pole sana ila utapata tuh kua mvumilivu sbbu mtafutaj hachokiUsiniumize kaka sikupenda hli litokee na nimehangaika sana binafsi mpaka sasa nina uchungu na ninaon aibu nimeharibu kazi,nimeharibu maisha,ndugu wamenitenga nimekuwa na maisha hayakko sawa faraja yangu ni mwanangu na mume inauma sana kuitumikia familia na kuwajali kama wako wakakugeuka na kusahau kila kitu mbaya zaidi na mtoto wamekuachia wamekutesa toka mimba mpaka umejifungua
Inategemea lknhuyu dada anahitaji mume serious, tatzo ni huyo mtoto sasa….
na atakayempata huyu kwa maumivu aliyopitia anaweza kuwa mke sahihi kabisa.
Maswala ya kukumbushiana hayakosekan kisingizio mtt [emoji1787][emoji1787]Mi siwez kumwamini single maza labda baba mtoto akiwa amefariki na nijue kazikwa wapi