Sijawatisha nimerekebisha nukuu ya kipande cha nyimbo tu hapo.Hahha acha kuwaogopesha wenZio james
Mpaka Leo sina mbinu za kumjua member akija na id mpya. Mnwajuaje hawa??Mkuu, kwanini haujatumia ID yako ya zamani ile ninayo ijua..[emoji53] [emoji53]
Dogo shule zimefungwa?Nimekosa sifa moja tu ya umri nina miaka 24
Acha kutoa toa namba kizembe mkuu. Wengine ni TISS wakiwa kazini ohoo.Nichek watsup 0625588153.
Mkuu, hadi tunafika hapa wahenga tulikwepa mishale mingi humu jamvini. Lakini tunaheshimiana sana kuliko ninyi vijana wa dot com....tehteehhMpaka Leo sina mbinu za kumjua member akija na id mpya. Mnwajuaje hawa??
Sina uoga wa kizembe na pia nimefunikwa na damu takatifu ya masiha.Utakufa kizembe kama walivyokufa wafuasi wa Joseph Kibwetere
Hii ni JF
Naibia mzee babaDogo shule zimefungwa?
Kwani miandiko si inatofautiana. Watu tunajua kukariri miandiko ya members humu. Ata akija na ID mpya tunajua ni fulaniMpaka Leo sina mbinu za kumjua member akija na id mpya. Mnwajuaje hawa??
Mwandiko wakeMpaka Leo sina mbinu za kumjua member akija na id mpya. Mnwajuaje hawa??
Lugha zake, mtindo wa uandishi hivyo vyote unalinganisha na umri wa akaunti yake kisha unapata majibu unajua ni mkongwe au mgeniKwani miandiko si inatofautiana. Watu tunajua kukariri miandiko ya members humu. Ata akija na ID mpya tunajua ni fulani
Haina noma chaliangu, vipi shemeji yetu Mbiti mbona hatumuoni siku hizi. Umemficha wapi?Naibia mzee baba
Ingawa sijajua maana ya kijana wa dot.com kwa maana ya post. Lakini mara nyingi sina uhakika kuwa mtu fulani au id fulani imekuja tena labda kwa spesho cases lakini hizi za uchumba au kwa namna alivyo andika huyu anaonesha si mgeni ila kumjua ni mtu fulani hapo nimekwama. Labda I don't pay attention it neededMkuu, hadi tunafika hapa wahenga tulikwepa mishale mingi humu jamvini. Lakini tunaheshimiana sana kuliko ninyi vijana wa dot com....tehteehh