Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,713
Usimtishe mwenzio mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bure ghali shauri yake[emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23]Na mahali unalipa wewe?
Mbona tupo wengi! Ila akifungua PM yake unijulishe inaweza yangu bahati hiiKigezo cha asiwe amezalisha MTU kinakupunguzia uwezekano Wa kumpata. Umri wako huo Wa 25-28 ni mkubwa sana. Hivyo ni vigumu kukutana na mwanaume ambaye hajawahi kuwa na mke au hana mtoto kabisa. Lingalie hilo Dada.
[emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Utakufa bila kelele kama walivyokufa wafuasi wa Joseph Kibwetere
Hii ni JF
Habari za humu
Natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri 27-34
Elimu si kigenzo cha mume bora
Pesa inatafutwa
Dini muhimu kuwa mkristo safi
Kingezo kikubwa na cha Muhimu Mcha Mungu na Mwenye upendo wa kweli.
Note:Usiwe umeacha mke au umezalisha mtu .
Sitaki kuumiza mwanamke mwenzangu kama vile ambavyo na mimi sipendi kuumizwa.
Mimi
Age yangu:25-28
Elimu:Chuo
Kazi:ninayo
Dini:miristo
[emoji6] MiristoHabari za humu
Natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri 27-34
Elimu si kigenzo cha mume bora
Pesa inatafutwa
Dini muhimu kuwa mkristo safi
Kingezo kikubwa na cha Muhimu Mcha Mungu na Mwenye upendo wa kweli.
Note:Usiwe umeacha mke au umezalisha mtu .
Sitaki kuumiza mwanamke mwenzangu kama vile ambavyo na mimi sipendi kuumizwa.
Mimi
Age yangu:25-28
Elimu:Chuo
Kazi:ninayo
Dini:miristo
Nakusalimu.Kuwa makini vibaka wote wako himu
Ukiweza kunitajia id yangu nyingine naacha rasmi kumiliki id mbili.Lugha zake, mtindo wa uandishi hivyo vyote unalinganisha na umri wa akaunti yake kisha unapata majibu unajua ni mkongwe au mgeni