Natafuta Mume

Natafuta Mume

Kigezo cha asiwe amezalisha MTU kinakupunguzia uwezekano Wa kumpata. Umri wako huo Wa 25-28 ni mkubwa sana. Hivyo ni vigumu kukutana na mwanaume ambaye hajawahi kuwa na mke au hana mtoto kabisa. Lingalie hilo Dada.
Mbona tupo wengi! Ila akifungua PM yake unijulishe inaweza yangu bahati hii
 
Daa haya buana,mim najua sehem sahihi ya kutafuta Mme ni church au msikitin,
 
Habari za humu
Natafuta mume mwenye sifa zifuatazo

Umri 27-34
Elimu si kigenzo cha mume bora
Pesa inatafutwa
Dini muhimu kuwa mkristo safi
Kingezo kikubwa na cha Muhimu Mcha Mungu na Mwenye upendo wa kweli.

Note:Usiwe umeacha mke au umezalisha mtu .
Sitaki kuumiza mwanamke mwenzangu kama vile ambavyo na mimi sipendi kuumizwa.

Mimi
Age yangu:25-28
Elimu:Chuo
Kazi:ninayo
Dini:miristo
 

daah kama zari qulifications zote nnazo ila umaskini umezidi kwangu njoo tegeta tumalize kipindi wife to b linambalangu hiloooo nila hiyana hata whatsapp nipogo 0655079119
 
Una elimu ya chuo au chuo kikuu!?
Make una tafuta mume badala ya boyfriend au mchumba.
Kutafuta mume ina maana alishakuoa akakutelekeza.
 
Una elimu ya chuo au chuo kikuu!?
Make una tafuta mume badala ya boyfriend au mchumba.
Kutafuta mume ina maana alishakuoa akakutelekeza
 
Habari za humu
Natafuta mume mwenye sifa zifuatazo

Umri 27-34
Elimu si kigenzo cha mume bora
Pesa inatafutwa
Dini muhimu kuwa mkristo safi
Kingezo kikubwa na cha Muhimu Mcha Mungu na Mwenye upendo wa kweli.

Note:Usiwe umeacha mke au umezalisha mtu .
Sitaki kuumiza mwanamke mwenzangu kama vile ambavyo na mimi sipendi kuumizwa.

Mimi
Age yangu:25-28
Elimu:Chuo
Kazi:ninayo
Dini:miristo
[emoji6] Miristo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom