James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Sijaelewa. Unaweza kufafanuakwani yeye umejua lengo lake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa. Unaweza kufafanuakwani yeye umejua lengo lake?
Hahahahaha huyu kila uzi huwa anatoa namba ,kuna uzi alisema ana miaka 39 mwingine ana miaka 42usimuite boss huyo ndo mumeo mtarajiwa mkuu kuwa na adabu kwa mumeo
hahahaha play boy huyo mkuuHahahahaha huyu kila uzi huwa anatoa namba ,kuna uzi alisema ana miaka 39 mwingine ana miaka 42
Mimi natimiza igez ulivyoweka, naomba kwa upande wako unitumie vipimo vyako vitatu kama ifuatavyo:-Habari za humu
Natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri 27-34
Elimu si kigenzo cha mume bora
Pesa inatafutwa
Dini muhimu kuwa mkristo safi
Kingezo kikubwa na cha Muhimu Mcha Mungu na Mwenye upendo wa kweli.
Note:Usiwe umeacha mke au umezalisha mtu .
Sitaki kuumiza mwanamke mwenzangu kama vile ambavyo na mimi sipendi kuumizwa.
Mimi
Age yangu:25-28
Elimu:Chuo
Kazi:ninayo
Dini:miristo
HahahaUtakufa kizembe kama walivyokufa wafuasi wa Joseph Kibwetere
Hii ni JF
Siwez si unajua dee akijua ataniachaHahahaaa labda niwe kiben ten wako hamisa
Unakuaje na umri wa miaka 25 hadi 28? Umri wako ni Variable? Au hujui siku yako ya kuzaliwa? Au unaetaka kuolewa sio wewe unao wengi mtua achagueHabari za humu
Natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri 27-34
Elimu si kigenzo cha mume bora
Pesa inatafutwa
Dini muhimu kuwa mkristo safi
Kingezo kikubwa na cha Muhimu Mcha Mungu na Mwenye upendo wa kweli.
Note:Usiwe umeacha mke au umezalisha mtu .
Sitaki kuumiza mwanamke mwenzangu kama vile ambavyo na mimi sipendi kuumizwa.
Mimi
Age yangu:25-28
Elimu:Chuo
Kazi:ninayo
Dini:miristo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Anataka wife Mkuu.Utakufa kizembe kama walivyokufa wafuasi wa Joseph Kibwetere
Hii ni JF
Bure ghali shauri yake[emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Anataka wife Mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utakufa bila kelele kama walivyokufa wafuasi wa Joseph Kibwetere
Hii ni JF
Mbuzi wa shughuli na avatar yake natoka hapa: [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utakufa bila kelele kama walivyokufa wafuasi wa Joseph Kibwetere
Hii ni JF