Na wewe toa sifa zako, ukoje, umri n.kNatafuta mwanaume umri kuanzia miaka 30
Awe na kazi
Awe anamcha MUNGU
Asiwe mswahili swahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari nategemea jibu litakuwa zuri na hakuna haja ya kupoteza mda
Huku huwa unaweka na sifa zako unaunganisha naNatafuta mwanaume umri kuanzia miaka 30
Awe na kazi
Awe anamcha MUNGU
Asiwe mswahili swahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimtishe bhana hii ni blinddateHuku huwa unaweka na sifa zako unaunganisha na
1.Cheti cha STD VII
2.Cheti cha CSEE
3.Cheti cha ACSEE
4.Cheti cha Chuo (University Transcript)
4.Picha yako Ukiwa Unaonekana Full
Ili wanaJF tujudge wewe ni Mwanamke wa Aina Gani!
Kama hutaki waswahili sasa hapa unataka nini?! Nenda kwenye forum za wazungu, waarabu na wengineo!Unatudharau waswahili kwa kuwa wewe mwarabu au mzungu sio?!! Mmmmxiuuu!!Natafuta mwanaume umri kuanzia miaka 30
Awe na kazi
Awe anamcha MUNGU
Asiwe mswahili swahili
Sent using Jamii Forums mobile app