arch88
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 514
- 618
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wanaume katili sanawe ni nani kwanza? umekosa huko unakuja kulialia huku
Jamani vibaya hivyo, mmemfanya mwenzenu afute uzi wake kabla wengi hatujausomaKama hutaki waswahili sasa hapa unataka nini?! Nenda kwenye forum za wazungu, waarabu na wengineo!Unatudharau waswahili kwa kuwa wewe mwarabu au mzungu sio?!! Mmmmxiuuu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji7] [emoji7]Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua ameshampata aliyemtaka.Jamani vibaya hivyo, mmemfanya mwenzenu afute uzi wake kabla wengi hayujausoma
Mmmh! Haraka haraka hivyo? Labda kwavile hakutaka mswahili kwahiyo atakuwa amempata asiye na longo longo vinginevyo sio rahisi kihivyo!Itakua ameshampata aliyemtaka.
itakua hivyo maana kuna mmoja walikua wanakaribishana pm, labda kaogopa watakua wengiMmmh! Haraka haraka hivyo? Labda kwavile hakutaka mswahili kwahiyo atakuwa amempata asiye na longo longo vinginevyo sio rahisi kihivyo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli ujanja kuwahi!itakua hivyo maana kuna mmoja walikua wanakaribishana pm, labda kaogopa watakua wengi
Hahaha... kweli kabisa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli ujanja kuwahi!
Siku nyingine na wewe uwahi sasa [emoji12]Hahaha... kweli kabisa.
inabidi ukiona tangazo kama hili uniite maana nimekuwa mchelewaji hadi nakosa mkeSiku nyingine na wewe uwahi sasa [emoji12]
Usijali best, nambie kabisa na vigezo uvitakavyo ili nisije nikakwitia sehemu isiyokufaainabidi ukiona tangazo kama hili uniite maana nimekuwa mchelewaji hadi nakosa mke
atakayekuwa na masharti machache kama huyu, ila asiwe mfupi na asizidi 28 yrs, akitokea niite ntakuja mbio kama Bolt.Usijali best, nambie kabisa na vigezo uvitakavyo ili nisije nikakwitia sehemu isiyokufaa