Natafuta mume

Tuma picha yako PM kama upo serious, nipo nyumba 300 hapa yuyajenge
 
Duhh vijana wa jf kwa kupenda vya kunyonga!! "

Kwa nini msitafute watoto wamejaa wengi sana mitaani!!?

BTW, jf sio pahala salama kivile. Wasiojulikana wanapenda kutumia techniques kama hizi. Kuweni makini.
 
Weka kapicha
 
Mi nina masters ningekuoa ila we una degree ko hujakidhi vigezo vyangu
 
Bint unataka pesa au vyeti?Wenyepesa kama King Musukuma kanda ya ziwa hata darasa LA 7 hajafika.Shauri yako
 
Hahahaha! Hivi alishazaaaa??

Singo maza huyu non marketable.

Halafu analia lia na kadi ya NHIF that means ni ajira ya serikalini. Endelea tu mama kuzaa bila ndoa. Mwanaume mwenye akili timamu hawezi oa mwanamke aliyezaa nje ya ndoa.
I see[emoji15] [emoji15] ...mbona maneno makali hivoo
 
Haaaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Eti ungemchomekea hata kama humjui[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…