According to you
not according to me according to the people with the degrees that u very much trust. people with degrees in statistics.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
According to you
Kweli bro ! Si unajua ndege wafananao ndio huruka pamoja ?!Acha wasomi waotafutane kwanza
Demu mzuri atafute mume jf [emoji1] [emoji1] [emoji1]Acha wasomi waotafutane kwanza
We umri ulionao bado unataka mwenye digrii, ulishindwa kutafuta ukiwa Chuoni? We tafuta mwanaume usiweke vigezo maana hauna bikraHabari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Hayo makabila sio kabisaaa
Kazi njema mkuuGreat
Kudadadeki mzee wa Casanova.Njoo pm ila hakikisha uwe mzuri wa haja..
Na sisi wapwani tuna shida gani .?Wachaga hawako romantic, and ni wabahili, kama mwanamke unahela utajuta, anakuchuna na kukutegemea kabisaaa
Hayo ni mawazo yako finyuAisee afadhali umewaengua wachaga mapema, ma bro wangepata tabu tuu...kwanza single mother, pili utakuwa huna mvuto ndio maana unajizungusha mtandaoni kutafuta mume
Kanisa la St. Lumumba!leo niliamka nikiwa na wazo la kutafuta mke, naona sala zangu ndio kama hivi zimejibiwa.
Watu mpo makini..... [emoji1] [emoji1] [emoji1] safi sana.... Hakuna kuuziwa mbuzi kwenye guniaOk watakuja pm ila me nilikuwa nauliza tu kama ulijifungua salamaView attachment 863798
Noma sanaWatu mpo makini..... [emoji1] [emoji1] [emoji1] safi sana.... Hakuna kuuziwa mbuzi kwenye gunia
Bahati ipiMbona hujasema kama una mtoto kwenye CV yako huoni unajikosesha bahati?