LaplaceTransformation
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 776
- 677
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂itakuwa masters kabisa hiiKuna kazi sio haba hapo zinaoana degree mbili tofauti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] balaaa.Mh dunia imeshika hatamu hata kwenye ndoa Degree Jamani Someni.
Pole sana MangiNashukuru kuondoa wachaga
Inamaana ana mtoto lkn kaogopa kuweka hapa ....maajabu sana .Ok watakuja pm ila me nilikuwa nauliza tu kama ulijifungua salamaView attachment 863798
Si mbayaUnazimendea pensheni
Great[emoji23]itakuwa masters kabisa hii
Mengine tutarekebishana ...kama kanisani tutapelekana , tabia tutarekebishaMama ungeweka nasifa za moyon sasa, izo za nje wanaume hua hawazioi !!
Maana una elimu/kazi lkn atakukuta una tabia mbovu mbovu tu ... Huon ni tatizo??? .
Alafu kama nimimi Umeshafel,, Haiwezekan mwanamke Humjui Mungu... Ungemchomekea tu hata humjui.
Don't lough mkuu, watu tupo very serious....[emoji52] [emoji52]Ha ha ha
kitendo cha kupewa mimba na kuzaa then divoced!! ni ishara you have problem somewhere!! so hatutaki used cc na bachelor zetu bhana!! umeona wapi mechi kabla haijaanza mwenzio tayari kashashinda goli moja!!!Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Naomba unitumie pm vipimo vyako vya kifua, kiuno na hips Tafadhali.Nyanda za juu kusini
[emoji23]itakuwa masters kabisa hii
pic also if possible!! maybe she is polygon in shape or improper fractionNaomba unitumie pm vipimo vyako vya kifua, kiuno na hips Tafadhali.
Ha ha ha hapana kwakweli
Matatizo sina badoMtoto wako katimiza mwaka kweli. Utakua na matatizo sio bure