Natafuta mume

Natafuta mume

Mama ungeweka nasifa za moyon sasa, izo za nje wanaume hua hawazioi !!

Maana una elimu/kazi lkn atakukuta una tabia mbovu mbovu tu ... Huon ni tatizo??? .

Alafu kama nimimi Umeshafel,, Haiwezekan mwanamke Humjui Mungu... Ungemchomekea tu hata km humjui.
 
Mama ungeweka nasifa za moyon sasa, izo za nje wanaume hua hawazioi !!

Maana una elimu/kazi lkn atakukuta una tabia mbovu mbovu tu ... Huon ni tatizo??? .

Alafu kama nimimi Umeshafel,, Haiwezekan mwanamke Humjui Mungu... Ungemchomekea tu hata humjui.
Mengine tutarekebishana ...kama kanisani tutapelekana , tabia tutarekebisha
 
Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima

Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
kitendo cha kupewa mimba na kuzaa then divoced!! ni ishara you have problem somewhere!! so hatutaki used cc na bachelor zetu bhana!! umeona wapi mechi kabla haijaanza mwenzio tayari kashashinda goli moja!!!
hatutaki useddddd
 
Ha ha ha hapana kwakweli

eeh wee wataka mwenye degree. wewe nikwambie chanzo kikubwa cha matatizo ndani ya ndoa ni ukosefu wa pesa ....na kukosa degree hakujawahi kuwa chanzo cha ndoa kulegalega.
wee tafuta msukuma mgegedaji mzuri na mwenye mihela maisha yanaenda. degree karatasi bwana muulize billgates na jamaa wa facebook
 
Back
Top Bottom