- Thread starter
- #121
sijuiUkifika 35yrs utapunguza vigezo automatically. Hapo kwenye education upande wa mume itakuwa any[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijuiUkifika 35yrs utapunguza vigezo automatically. Hapo kwenye education upande wa mume itakuwa any[emoji4]
Kuna kigezo kila siku kina ninyima mke. Kila la kheri.Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
UmejuajeDada degree ya nini?Nina mashaka elimu yako haijakusaidia!
kipi, nikusaidieKuna kigezo kila siku kina ninyima mke. Kila la kheri.
Mh dunia imeshika hatamu hata kwenye ndoa Degree Jamani Someni.
Watu mnatunza rekodi mpaka sio vizuri yaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ok watakuja pm ila me nilikuwa nauliza tu kama ulijifungua salamaView attachment 863798
Basi tafuta baba wa mtoto akuoe kama yupo hai huku wengi tuna elimu ya Mkuu wa mkoa. Samahani lakiniHa ha haaa ndio , salama salimini
Degree.kipi, nikusaidie
wewe hizo mbwembwe tuu...cha msingi ndalama na mgegedo wa maaana.
Kwahiyo huyo anayetaka mme ameongeza Mbwembwe.
Rudi skuli
Hahahaha! Hivi alishazaaaa??
Nikimaliza la 7 BUna degree?
You can't be serious....[emoji45] [emoji45]Bado
Ha ha ha hapana kwakwelidegree mbwembwe bwana wewe. kwani akipata mwanaume anayemuhudumia vilivyo kwenye masuala ya pesa na anamgegeda vizuri atasema sikutaki kisa huna degree...highly doubt it
HongeraNikafanye nn Wakati wenye elimu ndiyo kutwa kuhangaika na kutafuta wake na waume,Ila sisi wengine hatuna habari tunazurura tu na kuenjoy maisha.
Alafu wasomi wengi wabinafsi sana,wanaleta habari za elimu na madigrii,Mara maPHD sijuwi nn alafu wakiingia katika ndoa siku mbili nyingi ndoa inageuka jehanamu maana hakuna waku msikiliza mwenzie,wote wanajiona wapo juu.
Mniache na akina Ashura chupi kubwa wangu sie hatunaga mbwembwe.
Maoni yako tu hayaHahahaha! Hivi alishazaaaa??
Singo maza huyu non marketable.
Halafu analia lia na kadi ya NHIF that means ni ajira ya serikalini. Endelea tu mama kuzaa bila ndoa. Mwanaume mwenye akili timamu hawezi oa mwanamke aliyezaa nje ya ndoa.
Ha ha haYou can't be serious....[emoji45] [emoji45]