Unauhakika gani?Hata kwa hayo majibu yako ya mkato inaonesha huamini usemacho kwa kuwa hujafanya kautafiti.
Acha kurusha mateke niambie ka umeshapata na ka bado njoo PM tuyamalize japo sina digiriiUnauhakika gani?
Nikukute PM basAcha kurusha mateke niambie ka umeshapata na ka bado njoo PM tuyamalize japo sina digirii
Mwandiko wako tu unaoneshaNinamaxters ya matatizo
Haja ipi unaizungumziaNjoo pm ila hakikisha uwe mzuri wa haja..
SawaEndelea kutafuta
Naanzaje sasaSiku ukihitaji darasa la saba njoo PM
Darasa la saba anaweza kuwa na uelewa zaidi ya huyo mwenye degree. Watch out bibie!Naanzaje sasa
Mkuu mbona hapo kwenye tribe(kabila) umejichanganya? Hapo juu umeandika tribe; any, kisha hapa chini unasema tena asiwe Mchaga au wa Pwani?Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kwani hujaelewa? AsanteMkuu mbona hapo kwenye tribe(kabila) umejichanganya? Hapo juu umeandika tribe; any, kisha hapa chini unasema tena asiwe Mchaga au wa Pwani?
Anyways, nakutakia kila la heri umpate Mume atakayekufaa maishani.
Njoo nikupe mapenzi ya kutosha mamaHaja ipi unaizungumzia
OK hata kondoa ni Dodoma piaHabari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Unataka mwenye Degree yenye GPA ya ngapi ? Mimi nina GPA ya 32, je nitakufaa ?Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
[emoji23][emoji23]🤣🤣 Wazee walikua Wanasema someni bhana, tunacheza skul tuuMh dunia imeshika hatamu hata kwenye ndoa Degree Jamani Someni.