Natafuta mume

Natafuta mume

Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Mkuu mbona hapo kwenye tribe(kabila) umejichanganya? Hapo juu umeandika tribe; any, kisha hapa chini unasema tena asiwe Mchaga au wa Pwani?

Anyways, nakutakia kila la heri umpate Mume atakayekufaa maishani.
 
Mkuu, PM yangu umeiona...[emoji30][emoji30][emoji30]
 
Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima

Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
OK hata kondoa ni Dodoma pia
 
Habari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima

Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Unataka mwenye Degree yenye GPA ya ngapi ? Mimi nina GPA ya 32, je nitakufaa ?
 
Back
Top Bottom