Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbukumbu michezoniiOk watakuja pm ila me nilikuwa nauliza tu kama ulijifungua salamaView attachment 863798
Kuandika ni jambo dogo sana utamfundisha mkiwa ndani ya ndoa.Wewe hata kuandika hujui
Ukimvhunguza bata , huwezi mlaNi vyema kujua picha halisi hata kama mtu anafanya maamuzi awe ana a,b,c
Kwa mwandiko huo, naweza jua ni mtu wa namna gani.Kuandika ni jambo dogo sana utamfundisha mkiwa ndani ya ndoa.
Kila wakati Mungu ni mwema.AmenMungu Ni Mwema Wakati Wote
Zaeni
Haya bhana kila la kheriUkimvhunguza bata , huwezi mla
Yabebe mapungufu yake then utamrekebisha taratibu bibie.Kwa mwandiko huo, naweza jua ni mtu wa namna gani.
Wewe ni shabikiYabebe mapungufu yake then utamrekebisha taratibu bibie.
Mimi ni mwoaji/muoaji ila hapo kwenye dini hebu regeza/legeza bwanaWewe hata kuandika hujui
Umekariri vibaya rafiki yangu. Nikwambie tu si wote. Kuna wale wachaga waliozakiwa na kukulia mjini, i mean mikoa mingine.. wako vizur na hayo mambo hawana japo ni watafutajiWachaga hawako romantic, and ni wabahili, kama mwanamke unahela utajuta, anakuchuna na kukutegemea kabisaaa
Mimi ni mshenga.Wewe ni shabiki