Natafuta mume

Natafuta mume

Kuuziana mbuzi kwenye gunia hii weka kapichamo mama. Tufanye valuation.
 
kitendo cha kupewa mimba na kuzaa then divoced!! ni ishara you have problem somewhere!! so hatutaki used cc na bachelor zetu bhana!! umeona wapi mechi kabla haijaanza mwenzio tayari kashashinda goli moja!!!
hatutaki useddddd
Dont judge , use your common sense, Think, acha kubwabwaja, balance comment yako
 
eeh wee wataka mwenye degree. wewe nikwambie chanzo kikubwa cha matatizo ndani ya ndoa ni ukosefu wa pesa ....na kukosa degree hakujawahi kuwa chanzo cha ndoa kulegalega.
wee tafuta msukuma mgegedaji mzuri na mwenye mihela maisha yanaenda. degree karatasi bwana muulize billgates na jamaa wa facebook
Acha kukremisha
 
Acha kukremisha

Wee Seema kukremisha haya mambo ya ndoa hayanaga degree ingekuwa degree ndio main factor basi now ndio kungekuwa na ndoa imara kuliko huko zamani but the opposite is happening
 
Mi nadhani bora mtu useme natafuta mume na uweke sifa zako ww mwombaji tu. Generally wanawake huwa approched halafu yeye ndo anaamua aacept au areject offer.... Ss ukimwekea vgezo anaekufata hatakuja
Bora km umeamus kuita..uwaite waje uchague uende zako.
 
Wee Seema kukremisha haya mambo ya ndoa hayanaga degree ingekuwa degree ndio main factor basi now ndio kungekuwa na ndoa imara kuliko huko zamani but the opposite is happening
Tatizo lako hujanielewa nachotaka , kama vp potezea basi
 
Mi nadhani bora mtu useme natafuta mume na uweke sifa zako ww mwombaji tu. Generally wanawake huwa approched halafu yeye ndo anaamua aacept au areject offer.... Ss ukimwekea vgezo anaekufata hatakuja
Bora km umeamus kuita..uwaite waje uchague uende zako.
Kuchuja muhimu sana
 
Back
Top Bottom