Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo degree ya kwake unajua mwanamke mwenye churaaa ya haja anajiamini kuliko mwenye degree??
Vp chura ipo? Mtoto ulizaa kawaida au kwa operation?Hakati tamaa mtu hapa
wewe pia umechunguza adi ukapata vigezo vya mwanaume unaemtaka ,sasa na wao pia wanachunguza ili wajue kuwa anataka kuolewa ana vigezo ganiUkimvhunguza bata , huwezi mla
Umekariri vibaya rafiki yangu. Nikwambie tu si wote. Kuna wale wachaga waliozakiwa na kukulia mjini, i mean mikoa mingine.. wako vizur na hayo mambo hawana japo ni watafutaji
Ndivo inavokua ivo...ulitaka wabebe tuwewe pia umechunguza adi ukapata vigezo vya mwanaume unaemtaka ,sasa na wao pia wanachunguza ili wajue kuwa anataka kuolewa ana vigezo gani
Ha ha haaaUzi umechangiwa sana, hii nafasi bado ipo kwelii!!?
Ajira jam hadi huku napo jam waungwanaa!!?
KaribuNimepita chap kama mtuhumiwa anvyopitaga kituo cha police kabla hajakamatwa
mbona hujasema kama ni single mother tujueHa ha haaa ndio , salama salimini
Karibu sana Dodoma nikutafutie na nyumba kabisaHabari wana jamvi, mimi natafuta mume mwenye sifa zifuatazo
Umri kuanzia miaka 31 - 40
Color : Any
Tribe : Any
Education : Degree na kuendelea
Religion : Christian
Kabila : Asiwe mchaga au wa pwani
Kazi : Awe mfanya kazi au amejiajiri
Awe na heshima
Kuhusu mimi
Age : 27
Education: Degree
Color : Chocolate
Kazi : Employed
Vingine tutaulizana..aliyetayari aje PM tuongee...kama unaishi Dodoma itakua added advantage as nategemea kuhamia huko soon
Si umeshajua sasa au watakaje?mbona hujasema kama ni single mother tujue
Nitafutie basi rafikiKaribu sana Dodoma nikutafutie na nyumba kabisa
sio mbaya kila kheri nimeona dhamira yako na imani ushapata hitaji la moyo wako.Si umeshajua sasa au watakaje?