Natafuta mume

irene2019

Member
Joined
Nov 19, 2018
Posts
14
Reaction score
20
Habari zenu! mimi ni binti wa miaka 24 ninaishi dar es salaam. Natafuta mwanaume au mume mwenye uvumilivu awe na upendo kwangu pamoja na ndugu zangu pia nitampenda awe amejiajiri au kuajiriwa sio mrefu sana kiasi tu, maji ya kunde, asiwe mnene sana awe wastani aje PM kwa maelezo zaidi
 
ID mpya hizi Aiseeeeeeee!
 
Wewe ndo mwenye shida. Njoo PM sasa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…