Habari zenu! mimi ni binti wa miaka 24 ninaishi dar es salaam. Natafuta mwanaume au mume mwenye uvumilivu awe na upendo kwangu pamoja na ndugu zangu pia nitampenda awe amejiajiri au kuajiriwa sio mrefu sana kiasi tu, maji ya kunde, asiwe mnene sana awe wastani aje PM kwa maelezo zaidi