Natafuta mume

Male Wafupi mmefikiriwa msikose,maana wadada always huwa wanataka warefu tu
 
Nimeelewa kwanini umeanza kwa kusema 'AWE MVUMILIVU' maana hapa kweli kazi ipo
We bwege nn ben 10 wa nn mm baada ufikirie maisha unataka kuwa kiben 10 utakuja pigwa mtungo ww usipende vya bure
 
Hizi fursa zingine hazina masilahi bali stress tupu "nitakupenda mwezi mmoja tu "
 
Hivi mwanamke unaanzaje kutafta mwanaume, Ina maana huko mtaani, kanisani hawapo Hadi mje humu mtafte wasiojulikana Hawa jamani jamani
 
Wa mikoani je
 
Nitumi namba yako ya simu au email address
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…