Natafuta mume

Natafuta mume

Leo ndo kaingia jf na kutaka nchumba kabisaaa weee mtambooo muogope Mungu
 
Nipe mawasiliano yako tafadhali, nipo tayari kukuoa
Habari zenu! mimi ni binti wa miaka 24 ninaishi dar es salaam. Natafuta mwanaume au mume mwenye uvumilivu awe na upendo kwangu pamoja na ndugu zangu pia nitampenda awe amejiajiri au kuajiriwa sio mrefu sana kiasi tu, maji ya kunde, asiwe mnene sana awe wastani aje PM kwa maelezo zaidi
 
Sio kila fursa ni fursa kwako ujue, pengine unaweza kugeuzwa fursa.
Angekua serious I'd isingekua mupya.
Umenena vyema. kwanzan kabisa sifa za mtu anaehitaji lazima awe mvumilivu na mwenye upendo kwa ndugu zake; ukiitafakari kwa mapana hii sentensi utagundua kuwa wewe ndio utageuzwa fursa.
 
Habari zenu! mimi ni binti wa miaka 24 ninaishi dar es salaam. Natafuta mwanaume au mume mwenye uvumilivu awe na upendo kwangu pamoja na ndugu zangu pia nitampenda awe amejiajiri au kuajiriwa sio mrefu sana kiasi tu, maji ya kunde, asiwe mnene sana awe wastani aje PM kwa maelezo zaidi
Chonga wa kwako
 
Habari zenu! mimi ni binti wa miaka 24 ninaishi dar es salaam. Natafuta mwanaume au mume mwenye uvumilivu awe na upendo kwangu pamoja na ndugu zangu pia nitampenda awe amejiajiri au kuajiriwa sio mrefu sana kiasi tu, maji ya kunde, asiwe mnene sana awe wastani aje PM kwa maelezo zaidi
AWE MVUMILIVU!!!!!


Kuna maajabu gani uliyonayo mama wewe ambayo mme huyo inatakiwa ayavumilie?
 
Back
Top Bottom