Natafuta mume

Nipo hapa nimetimia mtoto wa kinyatu.....ru
 
Ndo nafungua mda huu JF
nakutana tangazo lina post #259

Ni kama siamini hivi au acc imeingiliwa na waharifu!!

Haya mtani kila lilojema kwako!
Oooh mtani hili bandiko ni la kweli nashangaa watu hamuamini
 
Ila wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi sijasoma chochote mkuu nipo tu na ka elimu kangu ka hapa na pale
 
Ukikosa kabisa njoo kwa kapuku mm tugawane huzuni
 
Sifa zote ninazo ni pm kama haujapta mume kama tiyari sitegemei uNiweke kwenye chujio
 
we dada una dhambi sana una tako kama lote halafu unadai sio kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…