Natafuta mume

Natafuta mume

Salaam kwenu.,,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]


Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.

Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26

Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm


Ahsanteni sana
Nipo hapa nimetimia mtoto wa kinyatu.....ru
 
Ndo nafungua mda huu JF
nakutana tangazo lina post #259

Ni kama siamini hivi au acc imeingiliwa na waharifu!!

Haya mtani kila lilojema kwako!
Oooh mtani hili bandiko ni la kweli nashangaa watu hamuamini
 
Huyu sio la Saba amesoma sana so wanaume wanamuogopa au anataka wa kumuendesha yeye aina za wanawake wasomi wajanja wajanja sana... Atakayempata kama amepigika kimaisha ataenjoy na kunung'unika kwa Pamoja...

Nina Girlfriend wangu kila nikifanya kitu anakipinga pinga au kukikosoa as if yeye mjuaji zaidi, na anataka yeye ndio asikilizwe na aelekeze so ukimkubalia anakuwa happy na ukikaza ni ananuna tu namvutia pumzi tu kuna rafiki yake akiingia king nitampiga down
Ila wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi sijasoma chochote mkuu nipo tu na ka elimu kangu ka hapa na pale
 
Sifa zote ninazo ni pm kama haujapta mume kama tiyari sitegemei uNiweke kwenye chujio
 
we dada una dhambi sana una tako kama lote halafu unadai sio kubwa
 
Back
Top Bottom