Natafuta mume

Natafuta mume

Acha nijihakiki kwanza ila hapokwenye Rangi nishaumia

Umri wako huo nao bado sogea sogea mbele kidogo

26 ni pasua kichwa sana..atleast ufike 28 hv ndio wale wadudu kuwasha washa huko kichwani wanakuaga wameanza pungua

Hata hivyo nishajiona sienei kwenye hiyo rambo.
 
Acha nijihakiki kwanza ila hapokwenye Rangi nishaumia

Umri wako huo nao bado sogea sogea mbele kidogo

26 ni pasua kichwa sana..atleast ufike 28 hv ndio wale wadudu kuwasha washa huko kichwani wanakuaga wameanza pungua

Hata hivyo nishajiona sienei kwenye hiyo rambo.
Sawa basi subiri niwe mkubwa
 
Salaam kwenu.,,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]


Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.

Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26

Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm


Ahsanteni sana
Duuuuuu!! Kazi ipo
 
Hivi watu wana matatizo gani? Mtu anashindwa nini kwenda PM moja kwa moja hadi anakuja kuandika kwenye comments eti 'njoo PM' mnaboa kishenzi.
 
MI nashangaa sana,tena nashindwa kuelewa
Hivi watu wana matatizo gani? Mtu anashindwa nini kwenda PM moja kwa moja hadi anakuja kuandika kwenye comments eti 'njoo PM' mnaboa kishenzi.
 
Back
Top Bottom