Natafuta mume

Natafuta mume

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaha we bado mpya mtashindwana aje kwangu mie muhenga anisaidie shughuli
 
wewe inaonekana muongomuongo sana, hufai kua mke hata 1%
 
Shemela huwezi amini moja ya comment nilikuwa nahitaji kuona kwenye uzi huu ni yako kitu gani kimetokea siamini ujue au Zeshchriss ana changamsha tu.
Tunapendana. Tangu hasubui alikuwa na hamu ya kuchart nikamwambia anzisha uzi kama huu. Tuwapime imani marafiki na wananzengo. Sasa nashangaa hata ww umeingia mkenge.
 
Hii post usikute nayo unajifunza ku post maana zile passion ulizosema wauza mwisho ukatuambia ulikua wajifunza
 
Eeeeh[emoji31]
Tunapendana. Tangu hasubui alikuwa na hamu ya kuchart nikamwambia anzisha uzi kama huu. Tuwapime imani marafiki na wananzengo. Sasa nashangaa hata ww umeingia mkenge.
 
Tunapendana. Tangu hasubuhi alikuwa na hamu ya kuchart nikamwambia anzisha uzi kama huu. Tuwapime imani marafiki na wananzengo. Sasa nashangaa hata ww umeingia mkenge.
Vizuri shemela wangu wa ukweli,Fanya mpango umchukue jumla mabaharia wa humu wanamezea mate kumpata @Zechchriss wako.
 
Back
Top Bottom