Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikigusa jina lako naona FOLLOW na IGNORE tuUnashindwaje
Tulia shemela namseti 😃😃😃Afanye kweli nifunge uzi
Funga uzi sasa naanza process.Afanye kweli nifunge uzi
Wanaume wanaojijua wao ni wanaume wameshaelewa boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unapenda sana kunitesa akia Mungu.Mpaka uanze
Kwa jibu hili ndio umenisaidia au?Duh hiyo mpya
Nafanyaje hapo?Duh hiyo mpya
Wewe sema bei gani ?Salaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana
Njoo pm tuyajenge[emoji23][emoji23][emoji23]