Natafuta mume

Natafuta mume

Attachments

  • Screenshot_2019-09-01-11-18-11.png
    Screenshot_2019-09-01-11-18-11.png
    26.3 KB · Views: 19
Light skin/ maji ya kunde tukae pembeni... Halafu umri umeuanzia mbali miaka 32..
 
Dah... sifa zote ninazo... Ila hapo kwenye elimu ndiyo nimefeli[emoji2960]
 
Salaam kwenu.,,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]


Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.

Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26

Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm


Ahsanteni sana
Wewe sema bei gani ?
 
Back
Top Bottom