Natafuta mume

Nlikuwa wapi sikuona hili andiko[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]


Anyways ushapata au bado nimtume mshenga sasaivi!
Elimu yangu ni fomu too
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bibie hapo huruki aisee,
ila akizingua kesho upepo wa kisulisuli ukupitie nikukute mlima wa moto baharia ntatimba na jinsi nyeusi na t-shirt nyeupe na raba white[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Bibie hapo huruki aisee,
ila akizingua kesho upepo wa kisulisuli ukupitie nikukute mlima wa moto baharia ntatimba na jinsi nyeusi na t-shirt nyeupe na raba white[emoji41][emoji41][emoji41]
Sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi deadline ya application ilishapita ?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo hapa huyu si mkweli ukimuoa kila siku anakupiga kanyanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…