Natafuta mume

Kwani umeambiwa lazima mume uwe wewe, watu mna stress za maisha mnakuja kuwaletea wasiohusika
Taratibu basiZeshby the way mimi nasubiri siku ya deadline ndiyo nitasubmit proposal [emoji1]
 
Miaka 26 ulikuwa wapi kuolewa zamani..na wale uliokuwa nao kuanzia miaka 16 hadi sasa wako wapi??
 
Naomba uongeze muda basi kama bado applicants hawajatimiza vigezo vyote.
Please [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Nimeongeza kwa ajili yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…