Naomba uongeze muda basi kama bado applicants hawajatimiza vigezo vyote.Hahahahahahaha deadline imepita
Hahahahaha isije ikawa kama ile ya Demiss.
Yeah, la saba huwezi kujielezea vizuri hivyo. By the way, huyu binti ni bright na hana masharti mengi, naamini atapata.La saba unaandika vizuri hivyo mmh Acha uongo ni mbaya
Hahahaha, masihara hayaNdiwooo sina nyota ya ndoa mimi lol