Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hautojali unaweza nitafuta mimi DmSalaam kwenu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambaye atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo:
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele
Asiwe na kitambi
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake
Elimu yoyote ile [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi
Mwembamba
Sina matako makubwa
Elimu ya darasa la saba
Sina mtoto
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje PM
Ahsanteni sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja kwanza I'd yako nyingine ni ipiZesh sasa hii ndo nini ?? [emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji25][emoji25]View attachment 1279817
Hebu fungua PM ,tuyajenge kdg ,hii nyumba inahitaji msimamizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja kwanza I'd yako nyingine ni ipi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja kwanza I'd yako nyingine ni ipi
Hahahahahahaha pm yangu haifunguki
Ntakufungulia geti tarehe 24 mwezi huu usijali dear😉Ama kweli wanaume tumeumbwa kuteseka tu, yaani hapa ninavyosubiria geti lifunguke wacha tu.
Mother Confessor alinijibu mahali nilipokuwa naomba ruhusa ya kuingia PM kwake mods wakafuta uzi.! [emoji24]
Huyu Zesh anachangamsha genge tu anataka mume halafu PM kafunga!!.Zesh sasa hii ndo nini ?? [emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji1427][emoji25][emoji25]View attachment 1279817
Jamaaniii ... we ndio wanakunifanyia hivi kweli ??Ntakufungulia geti tarehe 24 mwezi huu usijali dear[emoji6]
Jamaaniii ... we ndio wanakunifanyia hivi kweli ??
Mtego huo
Watu wamekuwa wakipoteza raslimali nyingi kukusanya taarifa kwa ajili ya tafiti zao kumbe njia nirahisi sana ya kupata hizo taarifa, na mimi nitatumia hili jukwaa kupata taarifa za utafiti wangu muda ukifika.
Muda ukifika nitasema mkuu 🤣🤣🤣🤣Unataka kutafiti nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]