Natafuta mume

Kama hautojali unaweza nitafuta mimi Dm
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja kwanza I'd yako nyingine ni ipi
Hebu fungua PM ,tuyajenge kdg ,hii nyumba inahitaji msimamizi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja kwanza I'd yako nyingine ni ipi

Sina nyingine zaidi ya hii, kuna moja ilikuwa inaitwa Eka mbe ila hii niliipoteza. Naomba tafadhari unifungulie geti niingie mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahahahaha pm yangu haifunguki
Sina nyingine zaidi ya hii, kuna moja ilikuwa inaitwa Eka mbe ila hii niliipoteza. Naomba tafadhari unifungulie geti niingie mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tabia za kutafuta wanaume alafu mkifuatwa pm mmefunga sio vizuri wa mstakabali wa kutafuta me or ke.
 
Huyu Zesh anachangamsha genge tu anataka mume halafu PM kafunga!!.

Hii ni sawa na kuolewa halafu ukalazimisha ulale na nguo kila siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Watu wamekuwa wakipoteza raslimali nyingi kukusanya taarifa kwa ajili ya tafiti zao kumbe njia nirahisi sana ya kupata hizo taarifa, na mimi nitatumia hili jukwaa kupata taarifa za utafiti wangu muda ukifika.
 
Unataka kutafiti nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wamekuwa wakipoteza raslimali nyingi kukusanya taarifa kwa ajili ya tafiti zao kumbe njia nirahisi sana ya kupata hizo taarifa, na mimi nitatumia hili jukwaa kupata taarifa za utafiti wangu muda ukifika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…