Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maombi pm mkuu
Sisi wenye vitambi ndo hatumo.[emoji41]Salaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana
Nakuzingua, siwezi kukuchomolea betriEeeeh[emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka kuchomoa betri?
Ila njoo ujione PM, hapa siwezi rusha picha yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Okay boss
Kwamba la saba ya zamani na ya sasa zina utofauti gani ?Mimi ni la saba ya zamani.....