Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ur warmly welcome my loveWaooh thanks babe
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Ur warmly welcome my love
Nini rafiki[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji134][emoji134][emoji134] yaani leo nimekuwa rafiki...umeshaniacha?Nini rafiki
Nadhani sijachelewa, ngoja ni ku - PM ila nina mke nataka wa piliSalaam kwenu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambaye atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo:
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele
Asiwe na kitambi
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake
Elimu yoyote ile [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi
Mwembamba
Sina matako makubwa
Elimu ya darasa la saba
Sina mtoto
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje PM
Ahsanteni sana
Mke ni rafiki pia[emoji134][emoji134][emoji134] yaani leo nimekuwa rafiki...umeshaniacha?
Khaa hii sikubaliMke ni rafiki pia
Kwa nini mkeKhaa hii sikubali
Nimegundua unataka kujipati kabinti hapa ngoja nipunguze msongamano [emoji56]Kwa nini mke
Unaenda kwa nani sasaNimegundua unataka kujipati kabinti hapa ngoja nipunguze msongamano [emoji56]
Nakuwa singo tuUnaenda kwa nani sasa
Sio vizuri mkeNakuwa singo tu
Halafu kweli naamini hii nchi Haina waelewa kwahyo lasaba sisi ndio hatujui kuandika sio?La saba unaandika vizuri hivyo mmh Acha uongo ni mbaya
Njoo inbobo coz yako haipokei sijui zimekua nyingi Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Salaam kwenu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambaye atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo:
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele
Asiwe na kitambi
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake
Elimu yoyote ile [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi
Mwembamba
Sina matako makubwa
Elimu ya darasa la saba
Sina mtoto
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje PM
Ahsanteni sana