financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hivi Zesh hukupata wengi wengi, unipasie na mimi huku jamani[emoji30] ,undugu ni kusaidiana ujueee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Mmmh, mbona kama unanipambanisha mkuu, wewe umemshindwa eeeh[emoji3]Naomba nikupe mtu chake
Na Mimi nipo huku [emoji16][emoji16]Hivi Zesh hukupata wengi wengi, unipasie na mimi huku jamani[emoji30] ,undugu ni kusaidiana ujueee
Nishakosa sifa !Nina kitambiSalaam kwenu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambaye atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo:
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele
Asiwe na kitambi
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake
Elimu yoyote ile [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi
Mwembamba
Sina matako makubwa
Elimu ya darasa la saba
Sina mtoto
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje PM
Ahsanteni sana
inaondoa kitambi?Kunywa juice ya ukwaju
Simtaki, baki naye tuu[emoji3] [emoji3] ndukiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Firstborn mamboo, uko single?Na Mimi nipo huku [emoji16][emoji16]
Bado sijawa double [emoji16][emoji16]Firstborn mamboo, uko single?
Basi Mungu mwema, tujidouble tu haina jinsi[emoji3]Bado sijawa double [emoji16][emoji16]
Zesh bdo hujapata mume?Ndiwoooo